Maswali Yanayoulizwa Mara Nyingi Kuhusu Mashahidi wa Yehova

Je, Mashahidi wa Yehova Wanajaribu Kujipatia Wokovu kwa Kuhubiri Nyumba kwa Nyumba?

Pata kujua yale tunayoamini kuhusu wokovu na jinsi unavyopatikana.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanajaribu Kujipatia Wokovu kwa Kuhubiri Nyumba kwa Nyumba?

Pata kujua yale tunayoamini kuhusu wokovu na jinsi unavyopatikana.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawapaiti Mahali Pao pa Ibada Kanisa?

Soma uone maneno “Jumba la Ufalme la Mashahidi wa Yehova” yalitoka wapi na kwa nini sisi huyatumia.

Je, Mashahidi wa Yehova Hutoa Fungu la Kumi?

Je, Mashahidi wa Yehova huambiwa wachange kiasi hususa cha pesa?

Mashahidi wa Yehova Wanaamini Nini?

Tambua kwa ufupi mambo 15 ya msingi tunayoamini.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanamwamini Yesu?

Chunguza ni muhimu kwa Wakristo wa kweli kumwamini Yesu.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Kwamba Dini Yao Tu Ndiyo Dini ya Kweli?

Je, Yesu alisema kuna barabara nyingi zinazoongoza kwenye wokovu?

Je, Mashahidi wa Yehova Wanaheshimu Dini Nyingine?

Pata kujua jinsi heshima inavyowatambulisha Wakristo wa kweli.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanakataa Kutiwa Damu Mishipani?

Kuna maoni mengi yasiyo ya kweli kuhusu Mashahidi wa Yehova na kutiwa damu mishipani. Jifunze kuhusu msimamo wetu kuhusiana na jambo hilo.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanapinga Kupewa Chanjo?

Kanuni mbili za Biblia zinazotusaidia kufanya uamuzi wa kibinafsi kuhusu kupewa chanjo.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Kwamba Dunia Iliumbwa kwa Siku Sita Zenye Urefu wa Saa 24?

Je, unajua kwamba maoni ya wale wanaoamini kwamba dunia iliumbwa kwa siku sita zenye urefu wa saa 24 yanapingana na Biblia?

Mashahidi wa Yehova Wana Maoni Gani Kuhusu Sayansi?

Je, imani yao inapatana na uvumbuzi wa kisayansi?

Je, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Agano la Kale?

Je, kuna sehemu za Biblia zilizopitwa na wakati? Soma uone jinsi Wakristo wanavyoweza kufaidika na masimulizi ya kihistoria na mashauri yanayofaa yanayopatikana katika Maandiko ya Kiebrania.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wamebadili Baadhi ya Imani Zao?

Hatupaswi kushangaa kwamba mabadiliko fulani huhitajiwa. Mara kadhaa katika nyakati za Biblia, waabudu wa Mungu walihitaji kubadili maoni yao.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawatumii Msalaba Katika Ibada?

Ingawa sisi ni Wakristo, hatutumii msalaba katika ibada yetu. Kwa nini?

Je, Mashahidi wa Yehova Wanashiriki Katika Ibada za Dini Nyingine?

Ni mafundisho gani ya Biblia yanawaongoza kujibu swali hilo?

Mashahidi wa Yehova Hutumiaje Michango?

Je, Mashahidi hutumia michango ili kujitajirisha?

Kwa Nini Mnaitwa Mashahidi wa Yehova?

Pata kujua jina hilo lilitoka wapi.

Mashahidi wa Yehova Ni Wangapi Ulimwenguni Pote?

Ona jinsi tunavyokusanya takwimu za idadi ya Mashahidi wa Yehova.

Mwanzilishi wa Mashahidi wa Yehova Ni Nani?

Pata kujua ni kwa nini Charles Taze Russell hakuwa mwanzilishi wa dini mpya.

Kazi ya Mashahidi wa Yehova Inagharimiwaje?

Tunaepuka njia zinazotumiwa na makanisa mengi.

Je, Mashahidi wa Yehova Hutoa Fungu la Kumi?

Je, Mashahidi wa Yehova huambiwa wachange kiasi hususa cha pesa?

Je, Mashahidi wa Yehova Wana Makasisi Wanaolipwa?

Je, kuna tofauti kati ya makasisi na waumini? Ni nani wanaotumika wakiwa wahudumu waliowekwa rasmi?

Je, Wafuasi Wenu Wanawake Huhubiri?

Wanawake hutimiza sehemu gani katika kazi ya kuhubiri inayofanywa na Mashahidi wa Yehova ulimwenguni pote?

Makutaniko ya Mashahidi wa Yehova Yamepangwa Jinsi Gani?

Chunguza jinsi mpango huu unavyotusaidia kupokea mwongozo na maagizo yanayotegemea Biblia.

Baraza Linaloongoza la Mashahidi wa Yehova Ni Nini?

Je, washiriki wake ndio viongozi wa tengenezo letu?

Shirika la Watch Tower Bible and Tract Society Ni Nini?

Linahusikaje na kazi ya Mashahidi wa Yehova?

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawajibu Mashtaka Yote Yanayotolewa Dhidi Yao?

Mashahidi wa Yehova hufuata kanuni za Biblia wanaposhughulikia mashtaka au maswali. Wao hujitahidi kutambua “wakati wa kukaa kimya na wakati wa kusema.”​—Mhubiri 3:7.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanawatembelea Watu Nyumba kwa Nyumba?

Pata kujua kile ambacho Yesu aliwafundisha wanafunzi wake wa karne ya kwanza.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanajaribu Kujipatia Wokovu kwa Kuhubiri Nyumba kwa Nyumba?

Pata kujua yale tunayoamini kuhusu wokovu na jinsi unavyopatikana.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Huwatembelea Watu Walio na Dini Zao?

Ni nini hutuchochea kuwatembelea watu walio na dini zao?

Je, Mashahidi wa Yehova Huwashinikiza Watu Wabadili Dini?

Je, kazi ya kuhubiri ya Mashahidi wa Yehova inawageuza watu imani kinyume cha sheria? Je, wanawalazimisha watu wabadili dini?

Mtaala wa Kujifunza Biblia Unaotolewa na Mashahidi wa Yehova Ni Nini?

Unaweza kutumia tafsiri yoyote ya Biblia unaposhiriki programu ya mazungumzo inayotolewa na Mashahidi wa Yehova. Jihisi huru kualika familia yako yote na marafiki wowote unaochagua.

Je, Mashahidi wa Yehova Hufanya Kazi ya Umishonari?

Ni nani wanaofanya kazi ya umishonari na kwa nini? Je, wao hupewa mazoezi ya pekee ili kutimiza kazi hiyo?

Je, Wafuasi Wenu Wanawake Huhubiri?

Wanawake hutimiza sehemu gani katika kazi ya kuhubiri inayofanywa na Mashahidi wa Yehova ulimwenguni pote?

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawapaiti Mahali Pao pa Ibada Kanisa?

Soma uone maneno “Jumba la Ufalme la Mashahidi wa Yehova” yalitoka wapi na kwa nini sisi huyatumia.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawatumii Msalaba Katika Ibada?

Ingawa sisi ni Wakristo, hatutumii msalaba katika ibada yetu. Kwa nini?

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanaadhimisha Mlo wa Jioni wa Bwana kwa Njia Tofauti na Dini Nyingine?

Unaitwa pia Mlo wa Jioni wa Bwana au Ukumbusho wa Kifo cha Yesu, ni tukio la pekee sana kwa Mashahidi wa Yehova. Fikiria mambo ambayo Biblia inasema kuhusu tukio hilo.

Je, Mashahidi wa Yehova Wanashiriki Katika Ibada za Dini Nyingine?

Ni mafundisho gani ya Biblia yanawaongoza kujibu swali hilo?

Je, Mashahidi wa Yehova Wana Biblia Yao Wenyewe?

Ukitumia tafsiri tofauti-tofauti za Biblia unaweza kuongeza ujuzi wako wa Biblia. Hebu ona ni mambo gani matatu yanayofanya iwe muhimu kutumia Biblia Takatifu​—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya unapojifunza Biblia.

Je, Tafsiri ya Ulimwengu Mpya Ni Sahihi?

Kwa nini Tafsiri ya Ulimwengu Mpya inatofautiana na tafsiri nyinginezo za Biblia?

Je, Mashahidi wa Yehova Wanaamini Agano la Kale?

Je, kuna sehemu za Biblia zilizopitwa na wakati? Soma uone jinsi Wakristo wanavyoweza kufaidika na masimulizi ya kihistoria na mashauri yanayofaa yanayopatikana katika Maandiko ya Kiebrania.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawaendi Vitani?

Ulimwenguni pote, inajulikana kwamba Mashahidi wa Yehova hawaendi vitani. Soma uone ni kwa nini sisi huchukua msimamo huo.

Je, Mashahidi wa Yehova Hutoa Misaada Wakati wa Misiba?

Soma uone jinsi ambavyo sisi huwasaidia waamini wenzetu na pia watu wengine wakati wa misiba.

Je, Mashahidi wa Yehova Hukubali Matibabu?

Watu fulani wanafikiri kwamba Mashahidi wa Yehova hukataa matibabu yote. Je, hilo ni kweli?

Je, Mashahidi wa Yehova Wanapinga Kupewa Chanjo?

Kanuni mbili za Biblia zinazotusaidia kufanya uamuzi wa kibinafsi kuhusu kupewa chanjo.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanakataa Kutiwa Damu Mishipani?

Kuna maoni mengi yasiyo ya kweli kuhusu Mashahidi wa Yehova na kutiwa damu mishipani. Jifunze kuhusu msimamo wetu kuhusiana na jambo hilo.

Mashahidi wa Yehova Wana Maoni Gani Kuhusu Elimu?

Mashahidi wa Yehova wanazingatia kanuni zipi wanapofanya maamuzi kuhusu elimu?

Je, Mashahidi wa Yehova Huwalazimisha Watoto Wafuate Imani Yao?

Kama wazazi wengine, Mashahidi wa Yehova wanawatakia watoto wao maisha mazuri. Wanawafundisha watoto wao mambo yatakayowanufaisha.

Je, Mashahidi wa Yehova Huvunja Familia au Huziimarisha?

Nyakati nyingine, Mashahidi hushutumiwa kwamba wanavunja familia za watu. Lakini je, ni kweli kwamba wanasababisha migawanyiko?

Je, Mashahidi wa Yehova Wana Sheria Kuhusu Urafiki wa Kimapenzi?

Je, urafiki wa kimapenzi ni jambo zito au la kujifurahisha tu?

Mashahidi wa Yehova Wana Maoni Gani Kuhusu Talaka?

Je, Mashahidi wa Yehova husaidia wenzi wa ndoa walio katika ndoa zenye matatizo? Je, lazima wazee wa kutaniko waidhinishe talaka kati ya wenzi wa ndoa?

Je, Mashahidi wa Yehova Huwakataza Wafuasi Wao Sinema, Vitabu, au Nyimbo Fulani?

Ni kanuni gani za msingi ambazo Mkristo anapaswa kutumia anapochagua burudani?

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawasherehekei Sikukuu Fulani?

Chunguza maswali manne muhimu kuhusu Mashahidi wa Yehova na sikukuu.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawasherehekei Krismasi?

Licha ya kujua chanzo chake watu wengi wanasherehekea Krismasi. Soma uone kwa nini Mashahidi wa Yehova hawasherehekei.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawasherehekei Ista?

Watu wengi wanaamini Ista ni sherehe ya Kikristo. Kwa nini Mashahidi wa Yehova hawaisherehekei?

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Hawasherehekei Siku za Kuzaliwa?

Fikiria mambo manne yanayohusiana na sherehe za siku ya kuzaliwa yanayoonyesha kwa nini Mungu hapendezwi nazo.

Ni Nini Hutendeka Katika Harusi za Mashahidi wa Yehova?

Hali za watu zinaweza kutofautiana, lakini jambo kuu halibadiliki.

Kwa Nini Mashahidi wa Yehova Wanaadhimisha Mlo wa Jioni wa Bwana kwa Njia Tofauti na Dini Nyingine?

Unaitwa pia Mlo wa Jioni wa Bwana au Ukumbusho wa Kifo cha Yesu, ni tukio la pekee sana kwa Mashahidi wa Yehova. Fikiria mambo ambayo Biblia inasema kuhusu tukio hilo.

Mashahidi wa Yehova Wana Maoni Gani Kuhusu Mazishi?

Maamuzi ambayo Mashahidi hufanya kuhusu mazishi yanategemea mafundisho ya Biblia kuhusu kifo. Ni mafundisho gani hayo yanayoongoza maamuzi yao?

Je, Mashahidi wa Yehova Ni Wakristo?

Tafadhali chunguza uone jinsi tulivyo tofauti na wengine wanaoitwa Wakristo.

Je, Mashahidi wa Yehova Ni Dini ya Kiprotestanti?

Kuna mambo mawili yanayowatofautisha Mashahidi wa Yehova na dini nyinginezo ambazo zinajulikana pia kuwa za Kikristo.

Je, Mashahidi wa Yehova Ni Dhehebu la Marekani?

Fikiria mambo manne kuhusu tengenezo hili la kimataifa.

Je, Mashahidi wa Yehova ni Wafuasi wa Dini ya Uyahudi?

Mafundisho yetu yanategemea Maandiko, ambayo hayatukuzi jamii yoyote.

Je, Mashahidi wa Yehova Ni Dhehebu

Linganisha maoni mawili ambayo watu wengi huwa nayo kuhusu madhehebu na mambo hakika kuhusu Mashahidi wa Yehova.

Mashahidi wa Yehova Ni Wangapi Ulimwenguni Pote?

Ona jinsi tunavyokusanya takwimu za idadi ya Mashahidi wa Yehova.

Nifanye Nini Ili Niwe Shahidi wa Yehova?

Mathayo 28:19, 20 inaeleza hatua tatu.

Je, Nikijifunza Biblia na Mashahidi wa Yehova Watatazamia Niwe Mmoja Wao?

Mashahidi wa Yehova wanajifunza Biblia bila malipo na mamilioni ya watu ulimwenguni pote. Lakini ukijifunza nasi, je, ni lazima uwe Shahidi wa Yehova?

Je, Mashahidi wa Yehova Huwaepuka Watu Ambao Zamani Walikuwa Washiriki wa Dini Yao?

Nyakati nyingine, inakuwa lazima kumtenga mtu na ushirika, na kufanya hivyo kunaweza kumsaidia mtu arudi kutanikoni.