Hamia kwenye habari

Imani na Ibada

Dini

Hali ya Kiroho Ni Nini? Je, Ninaweza Kuwa Mtu wa Kiroho Bila Kuwa Mshiriki wa Dini?

Ona mapendekezo matatu ya kusitawisha hali ya kiroho, na uone maoni manne yasiyo sahihi kuhusu jambo hilo.

Je, Dini Zote Ni Sawa? Je, Zote Zinaongoza kwa Mungu?

Mambo mawili yanayotajwa katika Biblia yanatupatia jibu.

Je, Ni Lazima Mtu Awe Katika Dini Fulani?

Je, mtu anaweza kumwabudu Mungu akiwa peke yake tu?

Kwa Nini Kuna Dini Nyingi Sana za Kikristo?

Je, hivyo ndivyo Yesu, mwanzilishi wa Ukristo, alivyokusudia?

Ninaweza Kuipataje Dini ya Kweli?

Je, ni kwamba tu mimi ninapenda dini fulani?

Mpinga-Kristo Ni Nani?

Je, anakuja, au tayari yupo?

Inamaanisha Nini Kuwa Mtakatifu?

Je, watu ambao si wakamilifu, kama sisi, wanaweza kuwa watakatifu?

Sala

Je, Mungu Atanisaidia Nikisali?

Je, Mungu anajishughulisha na matatizo yetu?

Kwa Nini Nisali? Je, Mungu Atanijibu?

Ili Mungu ajibu sala zako inategemea kwa kiasi kikubwa wewe.

Jinsi ya Kusali​—Je, Kukariri Sala ya Bwana Ndiyo Njia Bora Zaidi ya Kusali?

Je, sala ya Baba Yetu ndiyo sala pekee ambayo Mungu anakubali?

Nisali Kuhusu Nini?

Soma uone kwa nini mahangaiko ya kibinafsi si jambo ndogo kwa Mungu.

Kwa Nini Tusali Katika Jina la Yesu?

Jifunze jinsi kusali katika jina la Yesu kunamheshimu Mungu, na Yesu.

Je, Ni Sawa Kusali kwa Watakatifu?

Pata kujua Biblia inasema tunapaswa kusali kwa nani.

Kwa Nini Mungu Hukataa Sala Nyingine?

Jifunze ni aina gani za sala ambazo Mungu hasikilizi na ni watu wa aina gani ambao Mungu hawasililizi.

Wokovu

Je, Kumwamini Yesu Kunatosha Kupata Wokovu?

Biblia inawataja watu fulani wanaomwamini Yesu lakini ambao hawataokolewa. Hilo linawezekanaje?

Wokovu Ni Nini?

Mtu anapaswa kufanya nini ili aokolewe? Na mtu anaokolewa kutokana na nini?

Yesu Huokoa​—Jinsi Gani?

Kwa nini tunahitaji Yesu atuombee? Je, tunahitaji tu kumwamini Yesu ili tuokolewe?

Kwa Nini Yesu Alikufa?

Watu wengi wanafahamu fundisho la kwamba Yesu alikufa ili tuishi. Lakini kifo chake kinatufaidi jinsi gani?

Ubatizo Ni Nini?

Kuna ubatizo mwingi unaotajwa katika Biblia, unaofunua maana na umuhimu wa ubatizo.

Inamaanisha Nini Kuzaliwa Tena?

Je, lazima uzaliwe tena ili uwe Mkristo?

Dhambi na Msamaha

Dhambi ya Kwanza Ilikuwa Nini?

Adamu na Hawa hawakumtii Mungu na hivyo wakawapitishia watoto wao wote hali yao ya dhambi, iliyo kama kasoro ya urithi.

Dhambi Ni Nini?

Je, dhambi fulani ni mbaya zaidi kuliko nyingine?

Kusamehe Kunamaanisha Nini?

Biblia inaonyesha hatua tano zinazoweza kukusaidia kumsamehe mtu anayekukosea.

Je, Mungu Atanisamehe?

Chunguza kile ambacho Biblia inasema kuhusu msamaha wa Mungu.

Je, Biblia Inaweza Kuwasaidia Waliolemewa na Hisia za Hatia Kupata Kitulizo?

Kujihisi una hatia kupita kiasi kunaweza kukulemea, lakini hatua tatu zinaweza kukusaidia kusonga mbele.

Je, Kuna “Dhambi Saba Nzito”?

Ufafanuzi huo ulitoka wapi? Na kuna tofauti gani kati ya dhambi inayoleta kifo na dhambi isiyoleta kifo?

Dhambi Isiyoweza Kusamehewa Ni Nini?

Utajuaje ikiwa umefanya dhambi isiyoweza kusamehewa?

Ni Nini Maana ya “Jicho kwa Jicho”?

Je, kuwepo kwa sheria ya “jicho kwa jicho” kunamaanisha kwamba watu wanaruhusiwa kuchukua sheria mikononi mwao?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kileo? Je, Ni Dhambi Kunywa?

Biblia inataja faida kadhaa za divai na vileo vingine.

Je, Kuvuta Sigara Ni Dhambi?

Ikiwa kuvuta sigara hakujatajwa katika Biblia, tunawezaje kujibu swali hili?

Je, Kucheza Kamari Ni Dhambi?

Biblia haizungumzi kwa undani kuhusu kucheza kamari, kwa hiyo tunaweza kujuaje maoni ya Mungu ni nini?

Mazoea ya Kidini

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutoa Fungu la Kumi?

Utashangazwa kujua tofauti kati ya kile ambacho Biblia inasema hasa na kile ambacho watu wanafikiri inasema.

Je, Tuabudu Sanamu?

Je, Mungu anajali iwapo tunatumia sanamu katika ibada yetu?

Je, Wakristo Wanapaswa Kushika Sabato?

Ikiwa hawapaswi, basi kwa nini Biblia inasema kwamba Sabato ni agano la kuendelea?

Biblia Inafundisha Nini Kuhusu Kusema kwa Lugha?

Je, zawadi hiyo ya roho ndiyo inayowatambulisha Wakristo wa kweli?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kufunga?

Watu katika Biblia walifunga chini ya hali zipi? Je, ni takwa kwa Wakristo Kufunga?

Biblia Inasema Nini Kuhusu Kutoa?

Mungu anafurahishwa na kutoa kwa aina gani?

Zile Amri Kumi za Mungu Ni Nini?

Zilipewa nani? Je, Wakristo wanatazamiwa kuzishika?