Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

Mazungumzo ya Familia

Mazungumzo ya Familia

Mazungumzo ya Familia

Ni Nini Kimekosekana Katika Picha Hii?

Soma Danieli 6:1-24 kisha utazame picha. Ni vitu gani vimekosekana? Andika majibu yako kwenye mistari iliyo hapa chini, na ukamilishe picha hii kwa kuchora vitu vinavyokosekana na kupaka rangi.

1. ․․․․․

2. ․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Kwa nini Danieli alitupwa hapa? Je, umewahi kuteswa kwa sababu ulifanya jambo lililokuwa sawa? Eleza jambo lililokupata. Kuna faida gani za kufanya yaliyo mema haidhuru utapatwa na nini?

DOKEZO: Soma 1 Petro 2:19-21.

UNAJUA NINI KUHUSU MTUME MATHAYO?

3. Mathayo alijulikana pia kwa jina gani lingine?

DOKEZO: Soma Mathayo 9:9; Marko 2:14.

․․․․․

4. Mathayo alijidhabihu jinsi gani ili awe mfuasi wa Yesu?

DOKEZO: Soma Luka 5:27, 28.

․․․․․

ZUNGUMZENI PAMOJA:

Huenda ukahitajika kujidhabihu kwa njia gani ili uwe mfuasi wa Yesu? Utapata baraka gani?

DOKEZO: Soma Marko 10:28-30.

WATOTO WATAFUTE PICHA

Je, unaweza kupata picha hizi katika toleo hili? Kwa maneno yako mwenyewe, eleza jambo linalotendeka katika kila picha.

KATIKA TOLEO HILI

Jibu maswali haya, na utaje mistari ya Biblia ambayo haijaonyeshwa.

UKURASA WA 6 Ni nani aliyejenga vitu vyote? Waebrania 3:________

UKURASA WA 7 Watu waovu watapatwa na nini? Methali 2:________

UKURASA WA 20 Hakuna anayeweza kuja kwa Baba ila kupitia nani? Yohana 14:________

UKURASA WA 21 Tunapaswa kusali kwa ajili ya nani? Yakobo 5:________

● Majibu kwenye ukurasa wa 12

MAJIBU YA UKURASA WA 31

1. Simba.

2. Malaika.

3. Lawi.

4. Aliacha kila kitu.