Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

“Moyo Wangu Utakuwa Humo Sikuzote”

“Moyo Wangu Utakuwa Humo Sikuzote”

Yehova alichagua hekalu kwa ajili yake (2Nya 7:11, 12)

Moyo wa Yehova ungekuwa humo sikuzote, kuonyesha kwamba angependezwa sana na mambo yaliyoendelea katika nyumba hiyo iliyohusianishwa na jina lake (2Nya 7:16; w02 11/15 5 ¶1)

Ikiwa watu wangeacha kutembea mbele za Yehova “kwa moyo wao wote,” angeacha hekalu liharibiwe (2Nya 6:14; 7:19-21; it-2 1077-1078)

Hekalu lilipowekwa wakfu, huenda watu walifikiri sikuzote moyo wao ungekuwa katika hekalu. Kwa kusikitisha, hatua kwa hatua watu walipoteza shauku yao ya kumwabudu Yehova.

JIULIZE, ‘Ninaonyeshaje kwamba moyo wangu unahusika sana katika ibada yangu?’