Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

HAZINA ZA NENO LA MUNGU

Mfalme Sulemani Anafanya Uamuzi Usio wa Hekima

Mfalme Sulemani Anafanya Uamuzi Usio wa Hekima

[Onyesha video yenye kichwa Utangulizi wa 2 Mambo ya Nyakati.]

Sulemani alijikusanyia farasi na magari ya vita kutoka Misri (Kum 17:15, 16; 2Nya 1:14, 17)

Ili kutunza farasi na magari hayo yote ya vita, watu wengi zaidi walihitajika na majiji zaidi yalihitajika pia (2Nya 1:14; it-1 174 ¶5; 427)

Ingawa watu walikuwa na ufanisi katika kipindi fulani cha utawala wa Sulemani, baadaye aliwabebesha mizigo mizito. Mwana wake Mfalme Rehoboamu alipoanza kutawala watu waliasi kwa sababu alifanya maisha yao kuwa magumu hata zaidi. (2Nya 10:3, 4, 14, 16) Sikuzote maamuzi yetu huwa na matokeo fulani.—Gal 6:7.