Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MAISHA YA MKRISTO

Maamuzi Yanayoonyesha Unamtegemea Yehova

Maamuzi Yanayoonyesha Unamtegemea Yehova

Kila siku tunakabili maamuzi mengi. Mara nyingi watu ulimwenguni hufanya maamuzi yao kwa kutegemea hisia, au wanaufuata umati. (Kut 23:2; Met 28:26) Kwa upande mwingine, wale wanaomtegemea Yehova ‘humtambua yeye’ kwa kutumia kanuni za Biblia kuwaongoza wanapofanya maamuzi.—Met 3:5, 6.

Kando ya kila andiko, andika hali ambayo andiko hilo linaweza kukusaidia kufanya uamuzi mzuri.

TAZAMENI VIDEO YENYE KICHWA WAIGE WAAMINIFU, SI WASIO WAAMINIFU—MUSA, SI FARAO, KISHA MJIBU MASWALI YAFUATAYO:

Mfano katika Biblia ulimsaidiaje ndugu huyo kufanya uamuzi mzuri?