Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

MNARA WA MLINZI Na. 2 2018 | Maisha Yatakuwaje Wakati Ujao?

MAISHA YATAKUWAJE WAKATI UJAO?

Je, umewahi kujiuliza maisha yako na ya familia yako yatakuwaje wakati ujao? Biblia inasema:

“Waadilifu wataimiliki dunia, nao wataishi humo milele.”​—Zaburi 37:29.

Toleo hili la Mnara wa Mlinzi litakusaidia kujua kusudi zuri la Mungu la kuiumba dunia na wanadamu, na pia kile unachopaswa kufanya ili ufaidike kutokana na kusudi hilo.

 

Kutabiri Kuhusu Wakati Ujao

Kwa maelfu ya miaka, watu wametabiri kuhusu wakati ujao; baadhi ya mambo kweli hutokea lakini mengine huwa kinyume na kile kilichotarajiwa.

Unajimu na Kubashiri​—Je, Ni Njia Sahihi za Kujua Kuhusu Wakati Ujao?

Je, unaweza kuamini njia hizi za kutabiri kuhusu wakati ujao?

Unabii Ambao Umetimia

Unabii wa Biblia umetimia kwa usahihi kabisa.

Mnara wa Ukumbusho Unaothibitisha Usahihi wa Unabii

Mnara wa kale ulioko jijini Roma unathibitisha usahihi wa unabii wa Biblia.

Ahadi Ambazo Zitatimia

Unabii mwingi wa Biblia tayari umetimia, lakini mwingine utatimia wakati ujao.

Unaweza Kuishi Milele Duniani

Biblia inaeleza kuhusu kusudi la Mungu kuwaumba wanadamu.

Wakati Wako Ujao, Upo Mikononi Mwako!

Baadhi ya watu huamini kwamba maisha yao tayari yamepangwa. Lakini je, hilo ni kweli?

“Wapole Wataimiliki Dunia”

Biblia inaahidi kwamba wakati ujao hakutakuwa na ukosefu wa haki wala uovu.