Usawaziko
Juu ya nini Wakristo wanapaswa kuwa na usawaziko?
Ona pia 1Ti 3:2, 3
Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:
Mwa 18:23-33—Kwa uvumilivu Yehova anamuruhusu Abrahamu amuulize maulizo kuhusu uharibifu wa Sodoma na Gomora
Mwa 19:16-22, 30—Yehova anaonyesha usawaziko kwa kukubali ombi ya Loti ya kukimbilia Zoari kuliko kukimbilia mu eneo yenye milima
Mt 15:21-28—Yesu anaonyesha usawaziko kwa kukubali ombi ya mwanamuke Mufoinike juu anaonyesha imani ya ajabu sana