Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

Usawaziko

Usawaziko

Juu ya nini Wakristo wanapaswa kuwa na usawaziko?

Flp 4:5; Tit 3:2; Yak 3:17

Ona pia 1Ti 3:​2, 3

  • Habari za Biblia zenye zinaweza kusaidia:

    • Mwa 18:​23-33—Kwa uvumilivu Yehova anamuruhusu Abrahamu amuulize maulizo kuhusu uharibifu wa Sodoma na Gomora

    • Mwa 19:​16-22, 30—Yehova anaonyesha usawaziko kwa kukubali ombi ya Loti ya kukimbilia Zoari kuliko kukimbilia mu eneo yenye milima

    • Mt 15:​21-28—Yesu anaonyesha usawaziko kwa kukubali ombi ya mwanamuke Mufoinike juu anaonyesha imani ya ajabu sana