MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 11, 2014 | Shetani Anakuwaka Kabisa?
Ikiwa Shetani hakuwake, basi watu wanaomuogopa wanadanganyika. Lakini ikiwa Shetani ni kiongozi mudanganyifu, basi ni mwenye hatari sana kuliko namna watu wanawazia.
HABARI KUBWA
Shetani Ni Mufano Tu wa Mambo Mabaya?
Masimulizi mawili ya Biblia yanajibia waziwazi maulizo hayo.
HABARI KUBWA
Tunapaswa Kumuogopa Shetani?
Mungu anatoa njia ine za kutulinda na mashambulizi ya Shetani.
MAZUNGUMUZO YA BIBLIA PAMOJA NA JIRANI
Ufalme wa Mungu Ulianza Kutawala Wakati Gani? (Sehemu ya 2)
Unabii wa Biblia na ndoto iliyotumwa na Mungu kwa mufalme wa Babiloni vinaonyesha mwaka hilo lilitokea.
TUIGE IMANI YAO
Namna Gani ‘Ninaweza Kufanya Ubaya Huu Mukubwa?’
Namna gani Yosefu alipinga juhudi ya bibi ya Potifa ya kumuangusha?
Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Ufufuo mbalimbali Yesu alifanya unatuhakikishia nini juu ya ahadi zake za wakati unaokuja?