MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 11, 2014 | Shetani Anakuwaka Kabisa?

Ikiwa Shetani hakuwake, basi watu wanaomuogopa wanadanganyika. Lakini ikiwa Shetani ni kiongozi mudanganyifu, basi ni mwenye hatari sana kuliko namna watu wanawazia.

HABARI KUBWA

Shetani Anakuwaka?

Shetani ni alama ya ubaya, ao ni mutu wa roho?

HABARI KUBWA

Shetani Ni Mufano Tu wa Mambo Mabaya?

Masimulizi mawili ya Biblia yanajibia waziwazi maulizo hayo.

HABARI KUBWA

Tunapaswa Kumuogopa Shetani?

Mungu anatoa njia ine za kutulinda na mashambulizi ya Shetani.

MAZUNGUMUZO YA BIBLIA PAMOJA NA JIRANI

Ufalme wa Mungu Ulianza Kutawala Wakati Gani? (Sehemu ya 2)

Unabii wa Biblia na ndoto iliyotumwa na Mungu kwa mufalme wa Babiloni vinaonyesha mwaka hilo lilitokea.

TUIGE IMANI YAO

Namna Gani ‘Ninaweza Kufanya Ubaya Huu Mukubwa?’

Namna gani Yosefu alipinga juhudi ya bibi ya Potifa ya kumuangusha?

Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Ufufuo mbalimbali Yesu alifanya unatuhakikishia nini juu ya ahadi zake za wakati unaokuja?