MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 8, 2014 | Mungu Anakuhangaikia Wewe?

Ikiwa Mungu anajali, namna gani anaonyesha hivyo?

HABARI KUBWA

Mungu Anakuhangaikia?

Mungu Mweza-Yote Anakuhangaikia Kabisa?

HABARI KUBWA

Mungu Anakuona

Sababu gani anaitwa “Mungu mwenye kuona”?

HABARI KUBWA

Mungu Anakuelewa

Wakati Mungu anachunguza moyo wako, anaona jambo fulani zaidi ya makosa yako.

HABARI KUBWA

Mungu Anakufariji

Namna gani ikiwa mahangaiko yako yanaonekana kuwa madogo unapoona mamiliare ya watu walio duniani, ambao wengi kati yao wana matatizo makubwa?

HABARI KUBWA

Mungu Anakukaribia

Namna gani ikiwa unamuamini Mungu lakini haujisikie kuwa karibu naye?

BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU

Nilikuwa Ninapiganisha Ukosefu wa Haki na Jeuri

Antoine Touma alikuwa fundi sana katika Kung Fu, lakini andiko la 1 Timotheo 4:8 lilibadilisha maisha yake.

TUIGE IMANI YAO

‘Tafazali, Musikilize Ndoto Hii’

Kukomalia kwa Yosefu katika familia ngumu kunatolea leo somo nzuri wale walio katika familia yenye bibi ao bwana ana watoto wake.

WASOMAJI WETU WANAULIZA

Ni Nani Aliyemuumba Mungu?

Kuamini kwamba Mungu amekuwapo sikuzote ni jambo lisiloeleweka?

Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa

Inawezekana kwamba dini fulani hazitokane na Mungu wa kweli?