MUNARA WA MULINZI Mwezi wa 8, 2014 | Mungu Anakuhangaikia Wewe?
Ikiwa Mungu anajali, namna gani anaonyesha hivyo?
HABARI KUBWA
Mungu Anakuelewa
Wakati Mungu anachunguza moyo wako, anaona jambo fulani zaidi ya makosa yako.
HABARI KUBWA
Mungu Anakufariji
Namna gani ikiwa mahangaiko yako yanaonekana kuwa madogo unapoona mamiliare ya watu walio duniani, ambao wengi kati yao wana matatizo makubwa?
HABARI KUBWA
Mungu Anakukaribia
Namna gani ikiwa unamuamini Mungu lakini haujisikie kuwa karibu naye?
BIBLIA INABADILISHA MAISHA YA WATU
Nilikuwa Ninapiganisha Ukosefu wa Haki na Jeuri
Antoine Touma alikuwa fundi sana katika Kung Fu, lakini andiko la 1 Timotheo 4:8 lilibadilisha maisha yake.
TUIGE IMANI YAO
‘Tafazali, Musikilize Ndoto Hii’
Kukomalia kwa Yosefu katika familia ngumu kunatolea leo somo nzuri wale walio katika familia yenye bibi ao bwana ana watoto wake.
WASOMAJI WETU WANAULIZA
Ni Nani Aliyemuumba Mungu?
Kuamini kwamba Mungu amekuwapo sikuzote ni jambo lisiloeleweka?
Maulizo Juu ya Habari za Biblia Yanajibiwa
Inawezekana kwamba dini fulani hazitokane na Mungu wa kweli?