Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

A7-A

Matukio Makubwa ya Maisha ya Yesu Katika Dunia—Matukio Yenye Yalitangulia Utumishi wa Yesu

Vitabu Ine vya Injili Vimepangwa Kulingana na Namna Matukio Yalifuatana

Michoro yenye kufuata iko na karte zenye kuonyesha safari na maeneo kwenye Yesu alihubiri. Mishale kwenye karte haionyeshe kabisa njia zenye alipitia lakini inaonyesha kule alielekea.

Matukio Yenye Yalitangulia Utumishi wa Yesu

WAKATI

MAHALI

TUKIO

MATAYO

MARKO

LUKA

YOHANA

3 M.K.Y.

Yerusalemu, hekalu

Malaika Gabrieli anamutabiria Zekaria kuzaliwa kwa Yohana Mubatizaji

   

1:5-25

 

2 hivi M.K.Y.

Nazareti; Yudea

Malaika Gabrieli anamutabiria Maria kuzaliwa kwa Yesu; Maria anamutembelea Elizabeti, mutu wa jamaa yake

   

1:26-56

 

2 M.K.Y.

Eneo lenye vilima la Yudea

Yohana Mubatizaji anazaliwa na kupewa jina; Zekaria anatoa unabii; Yohana atakaa katika jangwa

   

1:57-80

 

2 M.K.Y., 1 Mwezi wa 10 hivi

Betlehemu

Yesu anazaliwa; “Neno akakuwa mwili”

1:1-25

 

2:1-7

1:1-5, 9-14

Karibu na Betlehemu; Betlehemu

Malaika anatangazia wachungaji habari njema; malaika wanamusifu Mungu; wachungaji wanamutembelea mutoto

   

2:8-20

 

Betlehemu; Yerusalemu

Yesu anatahiriwa (siku ya 8); anaonyeshwa katika hekalu na wazazi wake (kisha siku ya 40)

   

2:21-38

 

1 M.K.Y. ao 1 K.K.Y.

Yerusalemu; Betlehemu; Misri; Nazareti

Watu wenye elimu ya nyota wanamutembelea; familia inakimbilia Misri; Herode anaua watoto wadogo wanaume; familia inarudia kutoka Misri na kuishi Nazareti

2:1-23

 

2:39, 40

 

12 K.K.Y., Pasaka

Yerusalemu

Yesu akiwa na miaka 12 anauliza walimu maulizo kwenye hekalu

   

2:41-50

 
 

Nazareti

Anarudia Nazareti; anaendelea kujitiisha kwa wazazi wake; anajifunza kazi ya useremala; Maria anakomalisha watoto wanaume wengine ine, na pia watoto wanamuke (Mt 13:55, 56; Mk 6:3)

   

2:51, 52

 

29, kipindi cha mvua ya mwisho

Jangwa, Muto Yordani

Yohana Mubatizaji anaanza utumishi wake

3:1-12

1:1-8

3:1-18

1:6-8, 15-28