Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

ULIZO LA 4

Je, Biblia Inasema Kweli Juu ya Mambo ya Sayansi?

“Anatandika anga la kaskazini mahali kwenye hakuna kitu, ananinginiza dunia mahali kwenye hakuna kitu.”

Yobu 26:7

“Mito yote ya kidogo inatiririka kuingia katika bahari, lakini bahari haijae. Mahali mito ya kidogo inatoka, ni kule inarudia ili kutiririka tena.”

Muhubiri 1:7

“Kuko Ule mwenye kukaa juu ya muvi­ringo wa dunia.”

Isaya 40:22