Ona video zinazopatikana

Tofauti Kati ya Mageuzi na Uumbaji

Mambo Yenye Biblia Inatuambia Juu ya Muumbaji

Mambo yenye Biblia inasema inapatana na mambo yenye wanasayansi wamevumbula?

Mungu Alitumia Mageuzi ili Kuumba Vitu Mbalimbali?

Biblia haipinge mawazo ya watu wenye kujifunza sayansi yenye kuonyesha kama mabadiliko inatokeaka mu kila aina ya kiumbe.

Mageuzi ao Uumbaji?—Mwanafunzi Hajue Aamini Nini

Mara mingi wanafunzi wenye wamefundishwa kama vitu vyenye uzima viliumbwa wanapaswa kuamua wataamini nini.

Biblia Inasema Nini Juu ya Uumbaji?

Biblia inazungumuzia kipindi cha “siku” sita ambamo Mungu aliumba uzima. Siku hizo zilikuwa siku za saa 24 kila moja?

Vijana Wanazungumuzia Juu ya Kumuamini Mungu

Mu hii video ya dakika tatu, vijana wanaeleza mambo yenye inawahakikishia kama kuko Muumbaji.

Maajabu ya Uumbaji Inaonyesha Utukufu wa Mungu

Ni vitu gani vyenye Mungu aliumba vyenye unajioneaka kila siku? Hekima kubwa sana ya Mungu na upendo wake mukubwa kwetu vinaonekana kupitia vitu vyenye aliumba.

Elementi ya Ajabu

Hakuna elementi ya kemikali yenye kuwa ya lazima sana kwa ajili ya uzima kuliko kaboni. Kaboni ni nini, na sababu gani ni ya lazima sana?

Chembe Zako—Zinaweka Habari Nyingi Sana!

Ni nini inaweza kuchochea wanasayansi wenye kuheshimika waache kuamini mageuzi?

Ninapaswa Kuamini Mageuzi?

Ni mafasirio gani yanapatana na akili?

Biblia Inasema Nini Juu ya Mageuzi?

Habari ya Biblia juu ya uumbaji inapingana na sayansi?