Biblia​—Ina Ujumbe Gani?

Kuna ujumbe gani wa msingi wa Biblia?

Kwa Nini Uichunguze Biblia?

Jionee ukweli fulani kuhusu Biblia, kitabu maarufu zaidi ulimwenguni.

SEHEMU YA 1

Muumba Ampa Mwanadamu Paradiso

Biblia inasimulia jinsi gani kuumbwa kwa wanadamu? Mungu aliwapa wanadamu wa kwanza amri gani?

SEHEMU YA 2

Paradiso Yapotea

Mungu alipowahukumu Adamu na Hawa, aliwaandalia wazao wao tumaini jinsi gani?

SEHEMU YA 3

Wanadamu Waokoka Gharika

Uovu ulienea jinsi gani duniani? Noa alionyesha uaminifu wake kwa njia gani?

SEHEMU YA 4

Mungu Afanya Agano na Abrahamu

Kwa nini Abrahamu alihamia Kanaani? Yehova alifanya agano gani na Abrahamu?

SEHEMU YA 5

Mungu Ambariki Abrahamu na Familia Yake

Yehova alikuwa akimaanisha nini alipomtaka Abrahamu amtoe Isaka akiwa dhabihu? Yakobo alitabiri nini kabla ya kufa?

SEHEMU YA 6

Ayubu Adumisha Utimilifu

Kitabu cha Ayubu kinaonyeshaje kwamba viumbe wote wenye akili wanaweza kuchangia kutetewa kwa enzi kuu ya Mungu?

SEHEMU YA 7

Mungu Awakomboa Wana wa Israeli

Mungu alimtumiaje Musa kuwakomboa Waisraeli kutoka utumwani Misri? Maadhimisho ya Pasaka yalianzaje?

SEHEMU YA 8

Waisraeli Waingia Kanaani

Kwa nini Yehova hakuwaangamiza Rahabu na familia yake kule Yeriko, Waisraeli walipoingia Kanaani?

SEHEMU YA 9

Waisraeli Wataka Mfalme

Waisraeli walipotaka mfalme, Yehova alimchagua Sauli. Kwa nini Yehova alimchagua Daudi achukue mahali pa Mfalme Sauli?

SEHEMU YA 10

Sulemani Atawala kwa Hekima

Ni ipi baadhi ya mifano ya hekima ya Sulemani? Kulikuwa na matokeo gani alipoacha njia ya Yehova?

SEHEMU YA 11

Nyimbo zilizoongozwa na roho ambazo zinafariji na kufundisha

Ni zaburi gani zinazoonyesha jinsi Mungu anavyowasaidia na kuwafariji wanaompenda? Mfalme alifunua nini katika Wimbo wa Sulemani?

SEHEMU YA 12

Hekima Kutoka kwa Mungu Inayotuongoza Maishani

Fikiria jinsi shauri lililoongozwa na roho katika kitabu cha Methali na Mhubiri linavyoweza kutoa mwongozo unaofaa na msingi wa kumtegemea Yehova.

SEHEMU YA 13

Wafalme Wazuri na Wafalme Wabaya

Israeli ilikujaje kugawanyika na kuwa falme mbili?

SEHEMU YA 14

Mungu Asema Kupitia Manabii Wake

Manabii wa Mungu walitangaza ujumbe gani? Fikiria mambo manne waliyozungumzia.

SEHEMU YA 15

Nabii Aliye Uhamishoni Apata Maono ya Wakati Ujao

Danieli alipata kujua nini kuhusu Masihi na Ufalme wa Mungu?

SEHEMU YA 16

Masihi Afika

Yehova alitumiaje malaika na Yohana mbatizaji kumtaja Yesu kama Masihi? Yehova alimtambulisha jinsi gani mwana wake kuwa ndiye masihi?

SEHEMU YA 17

Yesu Afundisha Kuhusu Ufalme wa Mungu

Kichwa kikuu cha mahubiri ya Yesu kilikuwa ni nini? Alionyeshaje kwamba utawala wake utakuwa wa upendo na haki?

SEHEMU YA 18

Yesu Afanya Miujiza

Miujiza ya Yesu inaonyesha nini kuhusu nguvu zake na utawala wake wa wakati ujao juu ya dunia?

SEHEMU YA 19

Yesu Atabiri Matukio ya Wakati Ujao Yatakayoikumba Dunia Nzima

Ishara ambayo Yesu aliwapa mitume wake ilimaanisha nini?

SEHEMU YA 20

Yesu Kristo Auawa

Ni mwadhimisho gani mpya ambao Yesu alianzisha kabla ya kusalitiwa na kupigiliwa misumari juu ya mti wa mateso?

SEHEMU YA 21

Yesu Yuko Hai!

Wanafunzi wa Yesu walijua jinsi gani kwamba Mungu amemfufua?

SEHEMU YA 22

Mitume Wahubiri kwa Ujasiri

Ni mambo gani yaliyotokea wakati wa sikukuu ya Pentekoste? Adui waliwachukulia hatua gani wanafunzi wa Yesu kwa sababu ya kazi yao ya kuhubiri?

SEHEMU YA 23

Habari Njema Yaenea

Ni nini kilichotokea baada ya Paulo kumponya mtu jijini Listra? Paulo alifikaje Roma?

SEHEMU YA 24

Paulo Ayaandikia Makutaniko

Paulo alitoa maagizo gani kuhusu utaratibu wa kutaniko? Alisema nini kuhusu uzao ulioahidiwa?

SEHEMU YA 25

Mashauri Kuhusu Imani, Mwenendo, na Upendo

Wakristo wanaweza kuonyesha imani kwa njia gani? Mtu anaweza kuonyesha jinsi gani kwamba anampenda Mungu kikweli?

SEHEMU YA 26

Paradiso Yarudishwa!

Kitabu cha Ufunuo kinakamilisha ujumbe wa Biblia jinsi gani?

Ujumbe wa Biblia—Muhtasari

Yehova alifunuaje hatua kwa hatua kwamba Yesu ndiye atakayekuwa Masihi, yaani, yule atakayeifanya dunia iwe paradiso?

Mfululizo wa Matukio

Chunguza mfululizo wa matukio yanayotajwa kwenye Biblia, kuanzia mwaka wa 4026 K.W.K. mpaka mwaka wa 100 hivi W.K.