Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

WIMBO NA. 101

Kufanya Kazi Pamoja kwa Umoja

Kufanya Kazi Pamoja kwa Umoja

(Waefeso 4:3)

  1. 1. Katika zizi la Mungu.

    Unabii watimia.

    Kuna amani, umoja,

    Na furaha tele.

    Twapenda umoja;

    Na upatano.

    Katika kazi ya Mungu,

    Kuna mengi ya kufanywa.

    Tutumikie pamoja,

    Tuwe na utii.

  2. 2. Tumwombe Yehova Mungu,

    Tuwe na akili moja;

    Upendo uongezeke;

    Tuwe na amani.

    Inaburudisha,

    Inapendeza.

    Na tuonyeshe undugu,

    Mungu atupe amani.

    Umoja wetu udumu,

    Tutumikiapo.