MNARA WA MLINZI Januari 2015 | Serikali Isiyo na Ufisadi

Duniani pote, watu wengi huona kwamba taasisi za serikali zimejaa ufisadi. Je, inawezekana kuwa na serikali isiyokuwa na ufisadi?

HABARI KUU

Madhara ya Ufisadi Katika Serikali

Tatizo hilo ni baya sana kuliko unavyofikiri.

HABARI KUU

Ufalme wa Mungu—Serikali Isiyo na Ufisadi

Kuna mambo sita kuhusu Ufalme huo yanayothibitisha kwamba hautakuwa na ufisadi hata kidogo.

BIBLIA HUBADILI MAISHA

Kujifunza Biblia Kulikata Kiu Yangu ya Kupata Majibu

Mayli Gündel aliacha kumwamini Mungu baba yake alipokufa. Alipataje imani ya kweli na amani ya moyoni?

Waume—Dumisheni Amani Nyumbani

Familia inaweza kuwa na usalama wa kifedha na wakati uleule ikakosa furaha.

Je, Wajua?

Neno towashi linamaanisha nini linapotumiwa katika Biblia? Kwa nini wachungaji katika nyakati za Biblia walitenganisha kondoo na mbuzi?

Je, Tunapaswa Kusali kwa Yesu?

Yesu alitoa jibu la swali hilo.

Majibu Ya Maswali Ya Biblia

Wanadamu waliumbwa na Mungu, au walitokana na wanyama?

Habari Zaidi Mtandaoni

Biblia Inasema Nini Kuhusu Ndoa za Watu wa Jinsia Moja?

Ni lazima mwanzilishi wa ndoa awe anajua njia bora zaidi ya kuwa na muungano wenye furaha na wenye kudumu.