MNARA WA MLINZI—TOLEO LA FUNZO Juni 2024

Toleo hili lina makala za funzo za Agosti 12–​Septemba 8, 2024.

MAKALA YA 23

Mwaliko wa Pekee wa Yehova wa Kuwa Wageni Wake

Tutajifunza makala hii katika juma la Agosti 12-18, 2024.

MAKALA YA 24

Endelea Kuwa Mgeni wa Yehova Milele!

Tutajifunza makala hii katika juma la Agosti 19-25, 2024.

SIMULIZI LA MAISHA

Yehova Alisikiliza Sala Zangu

Ni jambo gani lililomsadikishia Marcel Gillet tangu akiwa na umri mdogo kwamba Yehova ni “Msikiaji wa Sala”?

Maswali Kutoka kwa Wasomaji

Kwa nini baadhi ya watu wanasema kwamba Zaburi 12:7 inarejelea “maneno ya Yehova” (mstari wa 6) lakini Tafsiri ya Ulimwengu Mpya inasema mstari huo unawarejelea “wale wanaoteswa” (mstari wa 5)?

MAKALA YA 25

Kumbuka Kwamba Yehova Ndiye “Mungu Aliye Hai”

Tutajifunza makala hii katika juma la Agosti 26–​Septemba 1, 2024.

MAKALA YA 26

Mfanye Yehova Kuwa Mwamba Wako

Tutajifunza makala hii katika juma la Septemba 2-8, 2024.