Hamia kwenye habari

Hamia kwenye yaliyomo

SWALI LA 14

Unawezaje Kutumia Vizuri Pesa na Mali Zako?

“Anayependa raha atakuwa maskini; anayependa divai na mafuta hatakuwa tajiri.”

Methali 21:⁠17

“Mkopaji ni mtumwa wa mkopeshaji.”

Methali 22:7

“Ni nani kati yenu anayetaka kujenga mnara ambaye haketi kwanza na kuhesabu gharama, ili aone kama ana kiasi cha kutosha kuukamilisha? La sivyo, ataweka msingi lakini ashindwe kumaliza, na wote wanaomtazama wataanza kumdhihaki, wakisema: ‘Mtu huyu alianza kujenga lakini akashindwa kumaliza.’”

Luka 14:​28-​30

“Waliposhiba akawaambia wanafunzi wake: ‘Kusanyeni vipande vilivyobaki, ili chochote kisipotee.’”

Yohana 6:​12