Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 71

Tuko Maaskari wa Yehova!

Tuko Maaskari wa Yehova!

(Waefeso 6:11-14)

  1. 1. Siye ni maaskari

    Wa Mungu wetu.

    Hata kama Shetani

    Iko natutesa,

    Hatutamuogopa.

    Tutahubiri,

    Na tutabakia

    Waaminifu.

    (REFREE)

    Siye ni maaskari;

    Tunatangaza:

    “Ufalme wa Mungu

    Unatawala.”

  2. 2. Tunamutumikia

    Mungu wa kweli.

    Tunatafuta sana

    Kondoo wa Mungu,

    Wenye wamepotea,

    Na wenye njaa.

    Tunawaalika

    Ku mikutano.

    (REFREE)

    Siye ni maaskari;

    Tunatangaza:

    “Ufalme wa Mungu

    Unatawala.”

  3. 3. Siye ni maaskari;

    Tutii Kristo.

    Na tuko na silaha

    Ili kupigana.

    Lakini tubakie

    Waangalifu.

    Tufundishe kweli;

    Tusiogope.

    (REFREE)

    Siye ni maaskari;

    Tunatangaza:

    “Ufalme wa Mungu

    Unatawala.”

(Ona pia Flp. 1:7; Flm. 2.)