Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 51

Ninajitoa kwa Mungu!

Ninajitoa kwa Mungu!

(Matayo 16:24)

  1. 1. Mungu njo aliniongoza kwa Yesu,

    Ili nijifunze Biblia.

    Niliamini mambo

    Yenye nilijifunza.

    Sasa ninaamua

    Kutumikia Mungu.

    (REFREE)

    Miye peke najitoa kwa Yehova.

    Kweli niko na furaha sana.

  2. 2. Mu sala nilimuambia Yehova

    Kama nitamutumikia.

    Ninafurahi sana

    Kubeba jina yake,

    Na kuhubiri sana

    Habari ya Ufalme.

    (REFREE)

    Miye peke najitoa kwa Yehova.

    Kweli niko na furaha sana.