WIMBO 51
Ninajitoa kwa Mungu!
-
1. Mungu njo aliniongoza kwa Yesu,
Ili nijifunze Biblia.
Niliamini mambo
Yenye nilijifunza.
Sasa ninaamua
Kutumikia Mungu.
(REFREE)
Miye peke najitoa kwa Yehova.
Kweli niko na furaha sana.
-
2. Mu sala nilimuambia Yehova
Kama nitamutumikia.
Ninafurahi sana
Kubeba jina yake,
Na kuhubiri sana
Habari ya Ufalme.
(REFREE)
Miye peke najitoa kwa Yehova.
Kweli niko na furaha sana.