Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 47

Usali kwa Yehova Kila Siku

Usali kwa Yehova Kila Siku

(1 Watesalonike 5:17)

  1. 1. Sali kwa Yehova kwa sababu

    Anasikiaka sala zetu.

    Umufungulie moyo wako.

    Mutumainie kila siku.

    Usali kila siku.

  2. 2. Shukuru Yehova kwa uzima.

    Omba akusamehe makosa,

    Na utubu zambi zako zote.

    Anakujua muzuri sana.

    Usali kila siku.

  3. 3. Usali wakati wa magumu;

    Yehova hawezi kukuacha.

    Umuombe akusaidie.

    Usiogope; mutegemee.

    Usali kila siku.