Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 20

Ulimutoa Mwana Wako Mupendwa

Ulimutoa Mwana Wako Mupendwa

(1 Yohana 4:9)

  1. 1. Yehova, Eh! Baba,

    Ulitoa Yesu.

    Na sasa tunapata

    tumaini.

    Tunapenda sana

    Kukutumikia.

    Tutawajulisha watu

    Wema wako.

    (REFREE)

    Ulitoa Yesu,

    Tutakuimbia,

    Na kukusifu sana,

    Kwa kutoa Mwana wako.

  2. 2. Unatuonyesha

    Upendo na wema.

    Na uko rafiki

    Muzuri sana.

    Tena ulitoa

    Uzima wa Yesu.

    Alikufa ili

    Tupate uzima.

    (REFREE)

    Ulitoa Yesu,

    Tutakuimbia,

    Na kukusifu sana,

    Kwa kutoa Mwana wako.

    (KUMALIZIA)

    Yehova, Eh! Baba, tunakushukuru.

    Aksanti sana kwa kututolea Yesu.

(Ona pia Yoh. 3:16; 15:13.)