WIMBO 20
Ulimutoa Mwana Wako Mupendwa
-
1. Yehova, Eh! Baba,
Ulitoa Yesu.
Na sasa tunapata
tumaini.
Tunapenda sana
Kukutumikia.
Tutawajulisha watu
Wema wako.
(REFREE)
Ulitoa Yesu,
Tutakuimbia,
Na kukusifu sana,
Kwa kutoa Mwana wako.
-
2. Unatuonyesha
Upendo na wema.
Na uko rafiki
Muzuri sana.
Tena ulitoa
Uzima wa Yesu.
Alikufa ili
Tupate uzima.
(REFREE)
Ulitoa Yesu,
Tutakuimbia,
Na kukusifu sana,
Kwa kutoa Mwana wako.
(KUMALIZIA)
Yehova, Eh! Baba, tunakushukuru.
Aksanti sana kwa kututolea Yesu.
(Ona pia Yoh. 3:16; 15:13.)