WIMBO 18
Tuko na Shukrani Juu ya Bei ya Ukombozi
-
1. Tuko hapa mbele yako
Eh! Yehova
Ili kukushukuru
kwa upendo wako.
Mwana wako mupendwa
ulimutoa.
Ile ni zawadi yenye
kupita yote.
(REFREE)
Yesu Kristo alikufa,
Kusudi tukuwe huru.
Kwa moyo wote
Tutakushukuru milele.
-
2. Kwa kupenda Yesu
alitukomboa.
Alionyesha upendo
Mukubwa sana.
Aliitika kumwanga
Damu yake
Ili tupate tumaini
ya uzima.
(REFREE)
Yesu Kristo alikufa,
Kusudi tukuwe huru.
Kwa moyo wote
Tutakushukuru milele.
(Ona pia Ebr. 9:13, 14; 1 Pe. 1:18, 19.)