Ona video zinazopatikana

Ona habari zilizo ndani

WIMBO 14

Tumusifu Mufalme Mupya wa Dunia

Tumusifu Mufalme Mupya wa Dunia

(Zaburi 2:12)

  1. 1. Yesu Kristo na kutaniko yake ya Kikristo,

    Wanakusanya watu kutoka kila taifa.

    Ufalme umezaliwa;

    Utatengeneza mambo.

    Ni tumaini ya muzuri

    Na yenye kutufariji.

    (REFREE)

    Tumusifu Yehova na Yesu Kristo,

    Mufalme wa wafalme wote.

    Tunapenda utawala wake

    Na tunamuimbia.

  2. 2. Tupige vigelegele ili kusifu Yesu.

    Ni Mufalme wa amani na mukombozi wetu.

    Atawafufua wafu,

    Atamaliza mateso;

    Hakutakuwa kuogopa.

    Tutakuwa na furaha!

    (REFREE)

    Tumusifu Yehova na Yesu Kristo,

    Mufalme wa wafalme wote.

    Tunapenda utawala wake

    Na tunamuimbia.