MUNARA WA MULINZI Na. 2 2016 | Sababu Gani Yesu Aliteseka na Kufa?

Kifo cha mutu mumoja mwenye alikufa kumepita miaka 2 000 hivi, kinaweza kuwa na maana gani kwako?

HABARI KUBWA

Mambo Hayo Yalitokea Kabisa?

Ni nini inafanya vitabu vya Injili juu ya Yesu vikuwe vya kweli?

HABARI KUBWA

Sababu Gani Yesu Aliteseka na Kufa?

Namna gani kifo chake kinaweza kukuletea faida?

Wakristo Wanapaswa Kuabudu Kwenye Nafasi Zenye Kuonwa Kuwa Takatifu?

Dini nyingi kubwa-kubwa za ulimwengu ziko na nafasi zenye kuonwa kuwa takatifu. Kuabudu kwenye nafasi hizo kuko na maana fulani ya pekee?

Kutii Angalisho Lenye Kutolewa Mbele ya Wakati Kunaweza Kuokoa Uzima Wako!

Unabii wa Biblia unatoa alama zenye kuwa wazi kuhusu hatari yenye kukaribia. Utatenda?

Ni Nani Alitia Sura na Mistari Katika Biblia?

Sababu gani namna hiyo ya kugawanya sura na mistari ilikubaliwa na wengi?

Biblia Inasema Nini?

Shetani anaweza kuongoza watu?