AMUKA! Na. 2 2016 | Biblia Ni Kitabu Kizuri Tu?
Kuko sababu ya muzuri yenye kuifanya kuwa kitabu chenye kuchapishwa na kutafsiriwa sana wakati wote.
HABARI KUBWA
Biblia Ni Kitabu Kizuri Tu?
Sababu gani watu wangetia maisha yao katika hatari ili kusoma ao kupata tu Biblia?
MUSAADA KWA FAMILIA
Kumusaidia Mutoto Wako Katika Kipindi cha Mwili Kuanza Kukomaa
Mashauri tano yenye kutegemea Biblia yanaweza kurahisisha kipindi hicho chenye mara nyingi ni kigumu.
SEHEMU YA KUULIZA MAULIZO
Mwanasayansi wa Kiini-Tete Anaeleza Imani Yake
Profesa Yan-Der Hsuuw aliamini mageuzi, lakini uchunguzi wake wa mambo ya sayansi ulimusaidia kubadilisha mawazo yake.
MAWAZO YA BIBLIA
Mahangaiko
Mahangaiko yenye kufaa yanaweza kusaidia, mahangaiko yasiyofaa yanaweza kuwa hatari. Namna gani unaweza kuyapiganisha?
Kasuku Fulani Wenye Kupendeza Sana
Pata maelezo mafupi juu ya maisha ya ndege hao wenye kupendeza sana.
HABARI FULANI ZA ULIMWENGU
Habari Fulani Juu ya Uhusiano na Wengine
Uchunguzi wa hivi karibuni unahakikisha hekima ya Biblia.
Usikose Pia Kusoma Habari Hizi
Maisha Yangu Yalinichokesha
Dmitry Korshunov alikuwa mulevi, lakini alianza kusoma Biblia kila siku. Ni nini ilimuchochea afanye mabadiliko makubwa katika maisha yake na kupata furaha ya kweli?
Anapata Tumaini Katika Gereza
Donald, mufungwa wa zamani, anaeleza namna kujifunza Biblia kumemusaidia afikie kumujua Mungu, afanye mabadiliko katika maisha yake, na akuwe bwana muzuri.